Tunaendelea kukusikiliza. Tuma ujumbe wako na tutakujibu kwa haraka iwezekanavyo.
Dar es Salaam, Tanzania
Jumatatu - Ijumaa: 8:00 asubuhi - 5:00 jioni
Jumamosi: 9:00 asubuhi - 1:00 mchana
Je, unawakilisha chuo, taasisi ya elimu, au shirika? Tunakupa fursa ya kufikia maelfu ya wanafunzi na watafuta elimu Tanzania kote!
Tangaza kozi, mafunzo na programu za udhamini kwa hadhira inayotafuta fursa za elimu. Pia unapata nafasi ya kuonesha picha na taarifa muhimu za chuo chako.
Tunatengeneza website za kitaalamu kwa vyuo, shule, NGO, kampuni za utalii, biashara na taasisi mbalimbali kwa ubora wa hali ya juu.
Tunasaidia kukuza biashara yako kupitia matangazo ya mitandao ya kijamii, SEO, na mikakati madhubuti ya kufikia wateja wengi zaidi mtandaoni.
Tunabuni na kuendeleza website za kisasa, zenye kasi na salama, pamoja na mifumo ya usimamizi wa taarifa (CMS) kulingana na mahitaji yako.
Pata bei maalum na ushauri wa kitaalamu bila malipo.
* Tunatoa msaada wa bure kabla ya kuanza mradi wako
"Website yetu ya chuo imeboresha uandikishaji kwa 40%!"
- Director, Chuo cha Ufundi"Matangazo yetu yamefikia wanafunzi 10,000+ kwa mwezi"
- Marketing Manager, Academy"Huduma bora na ya haraka. Website yetu ya NGO inavutia sana!"
- Founder, Development Org